AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uchaguzi wa kura za maoni kupitia CCM katika jimbo la Tarime Mjini na Vijijini umeahirishwa hadi kesho baada ya kukamatwa makaratasi maalum ya kupigia kura (kura feki ) zaidi ya elfu 20 zikiwa na majina ya wagombea, Nyambare Nyangwine na Gaudencia Kabaka yakiwa tayari yameshawekewa alama ya NDIO kuonesha kura zimekubaliwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KWANINI KILA SIKU UFISADI /RUSHWA NDANI YA CCM-Mara wabunge mara madiwani??????????????????bora watenguliwe udhu tu na ukawa na chapombe hamia ukawa--pataiva maana wewe kiongozi mwadilifu
ReplyDelete