AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
King Lawrence alienda mbali zaidi kwa kutumia kampuni ya wanasheria kumtaka achukue vipimo vya DNA vya kichanga hicho chenye zaidi ya followers 80k kwenye Instagram.
Zari ametumia Instagram kuwajibu kwa kudai kuwa wanachofanya wawili hao ni visasi ambavyo anaamini hufanywa na vilaza!
“Visasi hufanywa na vilaza,” ameandika Zari kwenye Instagram.
“BO$$LADY anafahamu kuwa huzuni aliyonayo mtu mwenye chuki wakati akiangalia furaha na mafanikio yake ni adhabu tosha. Inabidi niyageuzie mgongo mambo yate ya kijinga yanayoendelea. Naendelea kuwaua kwasababu watu hutaka kuzima taa inayowaka zaidi kwao,” ameongeza.
Diamond tayari ametoa majibu yake kufuatia hatua hiyo ya Ivan na Lawrenc.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
sawa kabisa hao nivilaza tu,lea mtt wako kwa amani.
ReplyDeletehatua gani alopiga Zari? ya kubadilisha wanaume kama mboga.
ReplyDeletehaihusu shoga fanya yako....
Deletekweli kapiga hatua mpaka watoto wake 3 kashawasahu ug.
ReplyDeleteShangazi anasubiri anachokitaka kwa dai, akisha pata atarudi kwa rich gang.
ReplyDeleteSafi saaaaana vilaza hao awana mpya
ReplyDeleteakapime tu hiyo DNA ili kuondoa maswali mengi
ReplyDeletendiyo akapime, atutaki longolongo
ReplyDeleteHANA SABABU YA KUPIMA. ZARI BIG UP KAZA BUTI KAMA NIMEWEZA KUWADHIBITI TANGU MIMBA HAMTASHINDWA SASA. DIAMOND HONGERA SAANA. MTUNZI VIZURI BINTIO NA MAMAYE!!!!
ReplyDeleteutaki longolongo mtoto ni wako?wakokwako ulishampimaga?,zari uko sawa wivu unawasumbua
ReplyDeletesioni sababu ya kupima DNA. kwani zari kama angetaka kuzaa na ivan angezaa naye tu. angalia mtoto wake wa mwisho ana umri gani?? zari kuwa ngaringari kama ulivyokuwa wakati wa mimba walisema mengi sana ukawashinda na hata sasa utawashinda. !! big up mama tiffah na baba tiffah. wana wivu haooooooooooooooo!!
ReplyDeleteakapime kwajiligani?zari hachananao wa vimba macho wivu tu unawasumbua ,kula bata na baby dai pamoja na tiffah,hayo ni majungu tu kunasiku yatahisha.
ReplyDeleteAkapime DNA kelele ziishe
ReplyDeleteKwanini anakuwa mkali akisikia DNA? kama anauhakika kwa nini una panic mwizi wewe peleka damu ya waganda kule leave our Daimond alone ni mdogo sana atapata watoto tu Mungu yupo.
ReplyDeleteNamshangaa huyu mama kwa nini anagoma kupima hiyo DNA? amka dogo kuna namna hapo usiogope aibu , aibu atakuwa nayo mwanamke wewe bado mdogo sana utapata watoto mpaka uwasahau majina.
ReplyDeleteJaman siku zote mama ndo anajua baba wa mtoto. So Zari wapotezee
ReplyDelete