AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kusema kweli tokea tumeanza mahusiano sijawahi pokea hata shs 10 toka kwake. Hapo mwanzo tulikuwa tunawasiliana vizuri kipindi nikiwa chuo kutokana na pesa ninayotumiwa na mama yangu nikifunga chuo mawasiliano yanapungua sababu kutokuwa na pesa ya kununua vocha.
Nikimuelezea hiyo hali anasema haiwezekani Sasa kabadilika, nikimuuliza anasema yupo kawaida.
Kinachonitatiza ni kwamba juzi kati nilikuta picha yake FB imepostiwa na mdada fulani, comments zinaonyesha huyo dada na aliyeko kwenye picha ambaye ni mpenzi wangu ni wapenzi.
Kumuuliza mpenzi wangu anadai hajui ni kwanni huyo dada kapost hiyo picha na kwamba sio wapenzi ila wanafahamiana.
Jamani nisaidieni maana roho inauma sana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK