AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Zari, Diamond anapenda kumuona mwanae akivaa nguo za muonekano wa kiume na Zari akiwa na ladha tofauti.
Zari amepost picha ya mwanae huyo na kuandika: My sweet potato….. Her dad loves seeing her looking boyish, mama loves her all dolled up in pink with ribbons. Blame this look on dad… she got a signature lip pause too, my lil diva in the making @princess_tiffah.”
Jumapili wazazi hao wataionesha sura ya Tiffah kwa mara ya kwanza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
utafikiri wao ndo wakwanza kuzaa duniani, ujinga mzigo.
ReplyDeletehuyo Zari anajifanya hajazaa watoto 3. wa kubambikiwa ndo limekuwa tangazo kila cku?
ReplyDeleteWAENDELEE KUMFICHA SURA. HATUNA TIME NA KIKI ZA KWAMTOGOLE,
ReplyDeleteDu! huyu mama kizee kawasahau watoto wake kwa ajili ya state ya tandale, awaulize walotangulia
ReplyDeleteUlimbukeni huu
ReplyDeleteWanajifanya mastaa
Makosa ya jk kumpandisha chati huyu mtoto wa tandale
Kiboko yake ujerumani tuu
Haendi tena
Sasa hayo yantuhusu nn wamvalishe hat rambo siwakwao mxuuuuuuu utadhan ndo wakwanza kuzaliwa bwana mnakeraaaaa
ReplyDeleteKibiashara zaidi
ReplyDeleteWIVU WENU TU !!!!
ReplyDeleteJelous.... Jelous.... Jelous
ReplyDelete