AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii imetokea huko Nigeria baada ya Mwalimu msimamizi wa mitihani kua gumzo baada ya kumhisi mwanafunzu kaingia kwenye chumba cha mtihani na majibu. Alikutana na mwanafunzi huyo akichechemea na ndipo alipomshuku na kuingiza mkono wake kwenye sehemu zake za siri jambo lililowashangaza sana wanafunzi wengine waliokua kwenye chumba hicho cha mitihani.
Alikuta karatasi yenye majibu kwenye chupi yake!!
Duu hatarii...
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK