Ni Watoto na Ndugu wa Viongozi wa CCM tu Ndio Waliobaki Kuipigania Kufa na Kupona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimekuwa nikifuatilia mielekeo ya kisiasa ya viongozi wa CCM na watoto wao pamoja na watu wao wengine wa karibu kinasaba, na kushuhudia kuwa, ukiacha viongozi wenyewe wa CCM, kundi la pili ambalo linafanya kila kinachowezekana kujaribu kukinusuru chama hicho ni la watoto wa viongozi hao. Wapo watoto wengi wa viongozi wa CCM, hasa katika magroup ya WhatsApp na mitandao ya kijamii, wanapigana kufa na kupona kunusuru ulaji wa wazazi wao.

Kete yao kubwa ambayo wanaitumia kuonyesha umma kuwa upinzani haufai ni kuwa "Lowassa ni fisadi". Wengi wamejitoa ufahamu, wana uwezo mdogo wa "kureason" unaoambatana na kuchanganyikiwa, na hoja wanazojenga wakati wa malumbano ni za kushangaza mno!

Hutaamini majibu, ushindani na hoja zao pindi utakapokutana nao na kujaribu kuwaeleza kuwa tulipofika kuna haja ya mabadiliko!

Hoja zao zinatia hasira vibaya sana na kuashiria kuwa wao wana hatimiliki ya hatma ya Tanzania.

By LifeHacker/JF
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad