AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kete yao kubwa ambayo wanaitumia kuonyesha umma kuwa upinzani haufai ni kuwa "Lowassa ni fisadi". Wengi wamejitoa ufahamu, wana uwezo mdogo wa "kureason" unaoambatana na kuchanganyikiwa, na hoja wanazojenga wakati wa malumbano ni za kushangaza mno!
Hutaamini majibu, ushindani na hoja zao pindi utakapokutana nao na kujaribu kuwaeleza kuwa tulipofika kuna haja ya mabadiliko!
Hoja zao zinatia hasira vibaya sana na kuashiria kuwa wao wana hatimiliki ya hatma ya Tanzania.
By LifeHacker/JF
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK