AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Team ya polisi huko Oakland, California walipigiwa simu na wananchi baada ya mtoto mchanga kuonekana akiwa kaachwa kwenye gari na madirisha yakiwa yamefungwa. Ili kumuokoa mtoto huyo walivunja dirisha la gari hiyo kwa haraka na huku wakiwa tayari na madaktari wakisubiri kuokoa maisha ya mtoto huyo mchanga.
Baada ya kuingia kwenye gari, hawakuamini macho yao.
Huwezi kuamini hakua mtoto bali alikua mdoli, mdoli aliyefanana na mtoto kabisa. Mapolisi hao walimuelewa raia aliyewapigia kwasababu hata wao walipomuona walishangaa sana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK