Ray C akirejesha kiuno chake kisicho na mfupa? (Picha)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huenda jitihada za Ray C kukirejesha kiuno chake kisichokuwa na mfupa zimeanza kuzaa matunda!

Kwa muda mrefu muimbaji huyo amekuwa akijaribu kuupunguza unene wake uliompoteza muonekano wake wa zamani uliompa sifa jukwaani na sasa picha zake mpya zinaonesha mafanikio.

Muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameshare picha zake mpya kuonesha hatua aliyofikia.

Haka ni kanani???yaani sitaki kuamini haka katoto ni mimi uwiii !jamani nina furaha sana moyoni kumuona ray c.wa miaka ile yaani acha tu!je nipungue zaid au?sasa ndio muda wa kurudi rasmi kwenye muziki Babutale, Mkubwafela dada yenu niko tayari sasa,” ameandika.

Unamuonaje Ray C huyu mpya?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad