Dk. Cheni Aipasukia Serikali Ijayo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUIGIZAJI nguli nchini,Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’ hivi karibuni ametoa ya moyoni kwa kusema kuwa serikali
ijayo iache mambo ya blabla bali itimize ahadi ambazo imekuwa ikitoa kwa wasanii ikiwa ni pamoja na kulinda haki
na masilahi yao.

Akizungumzia jinsi alivyouona uchaguzi, Dk Cheni alisema ameridhika na matokeo lakini akatoa rai kwa wale waliochaguliwa kuwaangaili wasanii kwa jicho la pili ili nao waweze kunufaika kwa kazi zao.

“Wakati wa blaablaa umepita, waliyoahidi kuhusu wasanii wayafanyie kazi, tunataka kunufaika na kile tunachokifanya, naamini serikali itaundwa na watu makini na kero zetu zitashughulikiwa ipasavyo,” alisema Dk. Cheni.

Chanzo: GPL


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad