Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon aipongeza Tanzania Kwa Uchaguzi Huru na Haki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Salam za pongezi kitaifa na kimataifa zaanza kutolewa kwa Rais mteule wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Taifa la Tanzania.

Mapema leo baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumaliza hafla ya kumkabidhi Rais mteule cheti cha ushindi katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam.Tanzania ilianza pokea salamu za pongezi toka kwa Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa (UN) Ban Ki -Moon liyetuma salamu zake za pongezi.

Pia, aipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuratibu na kusimamia vyema zoezi zima la Uchaguzi, ukusanyaji matokeo ya Uchaguzi kutoka katika vituo mbalimbali, ujumlishaji matokeo kusanywa, pamoja na usomaji matokeo hayo uliokuwa wa wazi, huru na haki.

Hata hivyo katika nyongeza yake, aelezea "concern" yake juu ya zoezi la Uchaguzi Zanzibar.


Soma Hapa:



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad