AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati huo CUF imetoa hadi kesho ZEC wawe wametengua tamko la M/kiti wao na kuendelea kuhakiki majimbo 14 yaliyobaki vinginevyo watawaachia wananchi kudai haki yao wenyewe.
Nini hatima ya Zanzibar kuanzia jumatatu, je Sheni ataendelea kuheshimiwa kama rais au atatafutwa kiongozi wa mpito kipindi cha kusubiri uchaguzi mwingine.
Endapo Dr. Shein ataendelea na madaraka ataaminika vipi kuendelea kupanga uchaguzi wa marudio wakati yeye ni mmoja wa washindani wanaolalamikiwa?
Nawasilisha.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK