AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Lowasa kukatwa na CCM, watu hao walilia sana na kusaga meno. Hata hivyo, kilio chao kilitulia baada ya Lowasa kuhamia CHADEMA. Wengi wao ambao wapo kwenye mitandao ya kijamii wakaenda huko kama vile nyumbu. Huku wakitaraji kuwa Lowasa ndiye Rais ajaye
Kutokana na upepo kuvuma vibaya, huku Lowasa akikimbiwa na kundi kubwa la wapiga kura, watu hao ambao kwa sasa wanajipambanua kwa kundi la Ulipo Tupo watalia tena kwa mara nyingine. Tena kilio cha safari hii hakina wa kuwafuta machozi. Maana baada ya kipigo atakachopata Lowasa, kundi hilo watapoteana kabisa.
Siku zi nyingi ukweli huu utadhihiri
Last edited by Lizaboni;
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
CCM wewe kwenda mbali
ReplyDeleteLowassa ashindwe Labda kwa Bao mkono na Hilo halipo tutalinda kura zetu hatutaki vituoni NGO
Pamoja na makapi kupata ukuu WA wilaya
ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI...........CCM INAYOYOMA
ReplyDeleteMAGUFURI AKISHIDWA URAISI MTAJINYONGA
ReplyDeletePELEKA MKOSI WAKO CCM
ReplyDeleteumbavu wewe
ReplyDelete