AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Obama alihojiwa na kwenye sentensi za kwanza kajibu hivi >>> “Sijavuta sigara hata moja ndani ya miaka mitano tangu nimeingia Ikulu… Niliahidi kwamba Muswada wa Sheria mpya ya Afya ukipita (2010) sivuti tena sigara, na kweli imetimia“.
Obama anasema alijaribu mara kadhaa kuachana na sigara mwaka 2008 wakati wa Kampeni za Urais lakini ilishindikana, kuna wakati alijikuta akijibana zake kona na kuvuta tena na tena !!
Unajua kingine alichojibu Rais Obama kuhusu kuacha kuvuta sigara >>> ‘Namuogopa mke wangu’… Michelle kumbe nae hakuipenda tabia ya uvutaji sigara ya Obama iendelee !!
Achana na hayo, swali jingine la kizushi kwa Obama… akiwa zake ‘out’ na Michelle wake wanakula raha, simu ya nani anaweza kupokea ikiita? >>> “Mmmmh… labda ya Malia, Sasha (watoto wake) na mama mkwe.. nyingine ya mshauri wangu wa usalama Susan Rice, na Katibu Mkuu Kiongozi, Denis McDonough” >>> Barack Obama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK