AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema inashangaza kuona uchaguzi ulifutwa kwenye majimbo yote, badala ya yale yaliyokuwa na matatizo tu “Kilichotokea Zanzibar kimeihuzunisha dunia,” alisema mbunge huyo wa zamani wa Mtama mkoani Lindi. “Watanzania waelewe, kilichoishitua dunia ni kule kufuta matokeo kwa ujumla wake.
Yaani majimbo yote hakuna hata moja lililofanya vizuri? Hapa ndipo tunapata kigugumizi. Sasa tunakwenda wapi, tunafanya kitu gani? “Ilitakiwa kuwe na ubaguzi; majimbo mawili, matatu, manne, matano, haya hayajafanya vizuri ndiyo uchaguzi urudiwe. Kaubaguzi kale kangewekwa, hiyo ingefanana na sura ya dunia ya haki.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyu membe cijui kawa mende na akili za chooni, kisiasa anaanza kupotea kwa uropokaji usio na faida kaanza na serikali ya JPM, now la uchaguzi cku zote alikua wapi, Hana jipya anatafuta kiki kwa jpm hapa kazi 2.
ReplyDeleteKweli Membe
ReplyDeleteHama CCM basi
ASISEME UKWELI,UKWELI UNAUMA EEE BASI KULENI MWANI KWA WINGI MVIMBIWE MPUNGUZE JAZBA ZENU ZA KISHETANI.MEMBE SI KAMA NYINYI VIBAKA WA SIASA,ANAIJUA DUNIA,ANA MAWASILIANO NA DUNIA NZIMA.SASA UNATAKA KUMZUIA ASISEME.SIYO YEYE NI DUNIA INAYOTULALAMIKIA.CCM IMETIA DOA NA FEDHEHA KUU ZANZIBAR.HILI HALITASAHAULIKA.MAREKANI WANALAANI, VIVYO HIVYO MATAIFA YA CANADA,BRAZIL,ARGENTINA,UFARANSA,URENO,SPAIN,PORTUGAL,SWITZELAND,LUXEMBOURG,GERMANY,SWEDEN,DENMARK,FINLAND,POLAND,ITALY,GREECE,RUSSIA,JAPAN,AUSTRALIA, HAPA NI KWA UCHACHE WAMEENDELEA KULAANI NA KUIBEZA CCM KUWA NI SHAMELESS DICTATORS KWENYE DUNIA YA LEO ILIYOSHEHENI WAKWELI,WAWAZI NA WASTAARABU.MEMBE ASISEME UKWELI UNAFIKIRI YEYE NI MSHAMBA KAMA NYINYI MABUNDA YA WANAFIKI MNAOLIPWA KWA KUSHABIKIA MAOVU?NA MLAANIWE CCM MPAKA KHIAMA.
ReplyDelete