AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chuchu Hans na Ray Mahabani |
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumanne hii, Chuchu alisema toka aanze kutoka kimapenzi na staa huyo mengi yamezushwa juu yake.
“Sasa hivi haya mambo ya mitandao yanapotosha sana jamii na watu wanataka ufanye kile wanachotaka,” alisema. “Sijaachana Ray na wala hatuna mpango huo sema kuna baadhi ya mashabiki kwenye mitandao ya kijamii wanataka tuishi maisha yao kitu ambacho hakiwezekani.”
Pia Chuchu alisema madai ya kuachana na Ray yamekuja baada ya kufuta baadhi ya taarifa za mpenzi wake katika mtandao wa kijamii.
Chuchu Hans Katika Pozi |
“Sisi tulikuwa na utaratibu mimi nikipost kitu na Ray anapost kitu lakini baada ya kuacha watu wakajua si tumeachana lakini sisi tupo safi kabisa,” alisisitiza Chuchu.
Hata hivyo mwanadada huyo amewataka watu wa kwenye mitandao ya kijamii kuacha tabia za kumtukania wazazi wake pamoja na ndugu zake kwani wao hawahusiani na mambo yake binafsi.
Udaku Special Blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Fashion police boot la winter ndani ya summer time Bongo rahaaaa,,,sana.
ReplyDeleteMdau tueleweshe vizuri unalisifia au unaliponda hilo police fashion winter boot
Delete