AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Badala yake, alimpongeza Rais John Magufuli kwa kusimamia zoezi hilo, kwani wengi wa wanaobomolewa walishapewa taarifa mapema na hawakutii agizo hilo la serikali, lakini akaitaka kuwaangalia kwa jicho la tatu watu ambao hawakupewa taarifa za zoezi hilo.
“Wazazi wangu wakibomolewa nyumba naona kawaida tu, siwezi kuwa na presha maana kila kitu kinapangwa na Mungu, kama ni kubomoa wabomoe tu hatuna la kufanya,” alisema Rose.
Global Publishers
Udaku Special Blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu malaya anajisemesha nin??i kwani hizo nyumba za wazazi umejenga wewe, wastara alikuwa anazungumzia nyumba zake sio za wazazi. we uwezi kuwa na uchungu na kitu ambacho hujagharamia!! unaongea nini???, mwenzio kaolewa, haya sasa jifananishe naye tena kama unaweza kuolewa na mbunge. we endelea kugawa kwa bongo movie wenzio.
ReplyDeleteSafi sana Rose maana ni sheria kuvunja nyumba za mabondeni na zilizojengwa kiholela.
DeleteWee nawe chokooooooo,kwani Kuolewa na mbunge umeona ni dili?
DeleteAnajiongelesha asichokielewa anataka sifa tu hana lolote!!
ReplyDelete