Mabinti wa Kichaga Ndio Wanao Ongoza Kulilia Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa utafiti wangu mdogo unaonesha kuwa katika makabila yote ya hapa Bongo tzee, mabinti wa kabila la Kichaga ndio hasa wanaongoza kwa kulilia ndoa. 

Yani ukikaa naye kwenye mahusiano ndani ya kipindi kisichozidi mwaka, lazima atakuwa ameshaanza kulilia ndoa.


Sasa ninaomba kufahamu kuwa huwa ni suala la kisaikolojia au ndivyo mila zao zinavyowafundisha kufanya hivyo?


Mabinti wengi wa kabila jingine huwa ni wavumilivu, hata kama watalilia, watalilia kindani ndani na wala huwezi jua mpaka kidume uamue kutangaza njaa ya kuweka ndani...


Toa maoni yako

Udaku Special Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ila huyu si mchaga ni mkenya labda banana mwandishi rudi tena shuleni

    ReplyDelete
  2. Hatutaki unzinzi ndio maana tunataka ndoa.

    ReplyDelete
  3. Kwani WAKIKUYU na WACHAGA wana tofauti? huyo ni mchaga me namjua vizzuri tuu.

    ReplyDelete
  4. Mistori ya kutunga tofauti Na picha mambo google hayo

    ReplyDelete
  5. Wachaga nomaaa, na wakaka zetu mlivyo malimbukeni siku hizi kila mtu anataka kuoa mchaga!! wakati wachaga wenyewe wavivu kunako bed!! eti ohooo, wanajua kutafuta!!! wakati mkishatafuta anakudhulumu kila kitu!!! ebu jiongezeni basi acheni ushamba!! nendeni mkaoe kwenu!! wakati wanaume wa kichaga hawataki kuoa chasaka!! nyinyi mambumbu ndio mnawakimbilia dada zao!!! nyie vipiiii!!!!

    ReplyDelete
  6. wachaga noma mnatafuta wote baadae anaweza hata kukufanyia njama za kukuuwa kabisa ili amiliki mali mimi bina fsi sioi mchaga labda nilogelezewe

    ReplyDelete
  7. matapeli hao,wanashauriwa kwao,,wanaambiwa kuwa anaweza akaachwa na kuolewa mwingine ndio maana unakuta wanataka waolewe fasta na waanze kuwatapeli mali waume zao wapeleke kwa

    ReplyDelete
  8. Matapeli hao,wanashauriwa kwao cuz wanajua chance za wao kuolewa ni finyu sana...so ndo maana wanakua fasta kuolewa ili waanze kuwatapeli hao wanaume kwa kuwekeza kwao

    ReplyDelete
  9. hawafai ni matapeli,,huwa wana tumwa na wazazi wao kuwa wafanye hivyo ili wamiliki mali za hao wanaume cuz wanajua wao chance za kuolewa ni chache.

    ReplyDelete
  10. hawafai ni matapeli,,huwa wana tumwa na wazazi wao kuwa wafanye hivyo ili wamiliki mali za hao wanaume cuz wanajua wao chance za kuolewa ni chache.

    ReplyDelete
  11. Hivi mtaacha lini ulimbukeni?Ooh mchagga anapenda pesa mbonana hadi wazungu wanapenda pesa nao ni wachagga?mchagga ana shepu je huyo mchagga kajiumba mwenyewe?Wazungu kibao wana shepu hizo za kichagga wameumbwa na nani?kuhusu wizi utapeli hayo ni maneno tu yenu na wivu mwanamke wa kichagga anajuwa kuitafuta pesa wewe kaa ndani jitume kitandani utakula kujituma kitandani.Mwanamke wa kichagga ategemei mwanaume mtajiju nyoko zenu.😬

    ReplyDelete
  12. Hivi mtaacha lini ulimbukeni?Ooh mchagga anapenda pesa mbonana hadi wazungu wanapenda pesa nao ni wachagga?mchagga ana shepu je huyo mchagga kajiumba mwenyewe?Wazungu kibao wana shepu hizo za kichagga wameumbwa na nani?kuhusu wizi utapeli hayo ni maneno tu yenu na wivu mwanamke wa kichagga anajuwa kuitafuta pesa wewe kaa ndani jitume kitandani utakula kujituma kitandani.Mwanamke wa kichagga ategemei mwanaume mtajiju nyoko zenu.��

    ReplyDelete
  13. karne hii makabila yote yanalilia ndoa hii inatokana na uwiano wa idadi ya wanaume n wanawake duniani apart from other psychological factors

    ReplyDelete

Top Post Ad