AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtayarishaji mkongwe wa video za muziki nchini, Adam Juma Jumatatu hii amejikuta akishambuliwa kwa matusi katika mitandao ya kijamii baada ya kuisifia video ya wimbo mpya wa Ali Kiba ‘Lupela’.
Muongozaji huyo aliamua kumsifia Ali Kiba kwa namna kazi ya Lupela ilivyoandaliwa mpaka kukamilika.
Kupitia instagram, Adam Juma aliandika.
Lupela @officialalikiba , this is art, watanzania hatujui kuidadavua art. Hatujui thamani ya kitu, tunachukulia kiurahisi urahisi tu, kila mtu anajifanya anajua kitu ambacho sio sawa. Hii sio video tu, tulia basi angalia kwa umakini utapata ujumbe usipoelewa inawekana tatizo lipo kwenye level yako ya kuchanganua ujumbe ktk picha, btw sio fan wa alikiba ni mwana tu. Ningependa kusema video ni A one, haifanani na kitu ambacho tumezoe!!! Go kiba
Hata hivyo baada ya ujumbe huo kukaa kutwa nzima ya jana, Adam Juma alirudi kwa mashabiki wake na kueleza kilichomkuta.
Kupitia instagram, Adam Juma aliandika : Jana nimeoga matusi mpk raha aisee….. kumbe ni hivi duu sikujua aisee.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK