Breaking News: Ajali Nyingine Tanga..Basi la Simba Mtoto Limegongana Uso kwa Uso na Semi Trella

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nduguzangu inavyosemekana Tanga kumetokea ajali kubwa ya bus la Simba Mtoto ya saa kumi na mbili inayondoka tanga kuja dar na imekutana na Semi Trella uso kwa uso kwenye maeneo ya panda mlima jirani na hale majeraha wako muheza teule na maiti bado zimebanwa kwenye bus subhaana llah eemungu tustiri wajawako na utujaalie mwisho mwema inshallah



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. poleni majeruhi wote

    ReplyDelete
  2. Tafiti zifanyike kubaini tatizo,kama chanzo cha ajali Tz ni barabara,madereva au magari?

    ReplyDelete
  3. Mungu ataleta rehma zake Na kuwapa uzima majeruhi as soon as possible ameen

    ReplyDelete
  4. kwa nini mabasi ya samba mtoto yana historia kubwa ya kupata ajali?

    ReplyDelete
  5. EE MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHMA. TUNAOMBA UWAPONYE KWA HARAKA MAJERUHI, NA UWAPE SUBRA NA FARAJA NDG NA JAMAA WOTE WALIOONDOKEWA NA WAPENDWA WAO. MWENYEEZI MUNGU TUSITIRI YAILLAHI

    ReplyDelete
  6. MBONA NCHI ZINGINE AJARI KAMA HIZI HAZITOKEI. AU HAPA TZ SABABU YA KUWA NA MABOGASTI DRIVER

    ReplyDelete
  7. Ajali zinatokea sehemu nyingi Duniani. Hapa kwetu taarifa zinapatikana kiurahisi, kutokana na ubora wa mfumo wa mawasiliano.

    ReplyDelete

Top Post Ad