AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nduguzangu inavyosemekana Tanga kumetokea ajali kubwa ya bus la Simba Mtoto ya saa kumi na mbili inayondoka tanga kuja dar na imekutana na Semi Trella uso kwa uso kwenye maeneo ya panda mlima jirani na hale majeraha wako muheza teule na maiti bado zimebanwa kwenye bus subhaana llah eemungu tustiri wajawako na utujaalie mwisho mwema inshallah
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mungu watie nguvu
ReplyDeletepoleni majeruhi wote
ReplyDeleteTafiti zifanyike kubaini tatizo,kama chanzo cha ajali Tz ni barabara,madereva au magari?
ReplyDeleteMungu ataleta rehma zake Na kuwapa uzima majeruhi as soon as possible ameen
ReplyDeletekwa nini mabasi ya samba mtoto yana historia kubwa ya kupata ajali?
ReplyDeleteEE MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHMA. TUNAOMBA UWAPONYE KWA HARAKA MAJERUHI, NA UWAPE SUBRA NA FARAJA NDG NA JAMAA WOTE WALIOONDOKEWA NA WAPENDWA WAO. MWENYEEZI MUNGU TUSITIRI YAILLAHI
ReplyDeleteMBONA NCHI ZINGINE AJARI KAMA HIZI HAZITOKEI. AU HAPA TZ SABABU YA KUWA NA MABOGASTI DRIVER
ReplyDeleteAjali zinatokea sehemu nyingi Duniani. Hapa kwetu taarifa zinapatikana kiurahisi, kutokana na ubora wa mfumo wa mawasiliano.
ReplyDelete