Bunge la Afrika Mashariki Lampongeza Rais Magufuli Kwa Hapa Kazi tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bunge la Afrika Mashariki limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuhakikisha mapato ya nchi yanakusanywa kikamilifu na yanawanufaisha wananchi wote.

Akiongea kwa niaba ya wabunge hao mbunge Shyrose Bhanji amesema kuwa eneo kubwa ambalo Rais amehakikisha linasimamiwa vizuri ni eneo la bandari eneo ambalo limerudisha heshima na uaminifu kwa wafanyabiashara kutumia bandari ya Tanzania na hivyo kuongeza mapato ya nchi.

Mheshimiwa Banji ameongeza kuwa nchi zote za Afrika Mashariki zinaitegemea sana bandari ya Dar es salaam hivyo nchi wanachama wa Afrika Mashariki wamekuwa na furaha kubwa kuona kuwa bandari hiyo imepiga hatua na wana uhakika kuwa bandari hiyo itarahisisha biashara kwa wafanyabiashara wa ukanda huo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad