AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa huyo ambaye ameachia wimbo ‘Kokoriko’ hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wanashindwa kujua kuna vitu gani nyuma ya pazia ya maisha ya wasanii.
“Kuna mashabiki nimewaona Enewz ya EATV wanasema nimekosa cha kufanya ndio maana nakaa tu nyumbani, nataka wajue muziki sio mkojo ukijisikia tu unautoa mashabiki wajue, mpaka kazi inatoka wajue kuna kazi kubwa imefanyika” alisema Dudu Baya.
Aliongeza,
“Mimi bado ni mfanyabiashara, Je kampuni ya Mambaz Timber ni yao?. Je kampuni ya Mambaz Entertaiment ni yao?. Kama ni mamluki wajipange, mimi ni Mamba na wasione nipo kimya katika muziki wakadhani sina cha kufanya.Kukaa maskani ni sehemu ya maisha yangu na sitaacha na si kila mtu na sio lazima ajue shughuli zangu zingine,”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mwendawazimu kapewa rungu!
ReplyDelete