AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo limetokea kwenye sherehe za uzinduzi wa albam ya msanii Mirror ambaye yuko chini ya mwanadada Wema Sepetu, usiku wa siku ya wapendanao (valentine) na kuwafanya watu wengi wawashangae, ndipo camera za EATV zilipowanasa baba na mama Cookie wakiwa mbali mbali, kama hawajuani.
Wakiwa ukumbini hapo Aunty Ezekiel (mama Cookie) alionekana akiwa close na Idris Sultan ambaye shemeji yake kwa shoga yake kipenzi Wema Sepetu, huku Moze Iyobo (baba Cookie ) akionekana akiwa na marafiki zake, ilihali siku hiyo ilikuwa maalum kwa wapendanao.
Zicheki picha hapa chini za tukio zima lilivyoenda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Udaku tumeshawazoea kila SK watu wamepigana kibuti,wameachana hamjawahi kusuluhisha nyie kufitunisha tuu
ReplyDelete