AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari nchini mbele ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari( MAELEZO), Assah Mwambene, Sungura amesema lengo la TMF ni kuleta mabadiliko chanya katika tasnia ya habari na kuona wananchi wanapata taarifa kwa wakati.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nyie watu, kama mnazo pesa za kuchezea, hebu jengeni madarasa mnunue na madawati, hilo bunge la 'mipasho','misutano','taarifa', 'miongozo' hakuna ulazima wa kuliona 'live', hata likirekodiwa inatosha, na tutayasoma magazetini......wabunge wengi 'wasema-hovyo' wanatafuta 'kick', waonekane ni mahodari wa 'kubwabwaja' na kuuza sura zao.......TUMESTUKA, HATUTAKI BUNGE LIVE
ReplyDeleteAcha ujinga, huyo Mkurugenzi ameamua mwenyewe kufanya hivyo, kama kweli wewe unauchungu na maendeleo ya nchi mbona haujawakosoa wanaotumia fedha kwenye maazimisho ya vyama vyao?
DeleteSungura gani usiyea na akili uchangie mambo ya mipasho kama ya taarabu bungeni na watu kila kukicha wanatoka bungeni vurugu zisizoisha nini cha maana kitatusaidia ni bora kama huo mchango wako ungeupeleka sehemu ziko kibao tanzania kusaidia jamii wenye shida leo unajitia kifua mbele kutafuta misifa
ReplyDeleteNdg zangu kama kupata habari ni haki ya kila mtu kwa nini ninyi wachangiaji mwanze kuleta utata? waliojitolea acha atoe wapo wanaoguswa kwenye madarasa akina Mengi pia kwenye barabara sio kila mtu ataguswa kwenye kipaombele chako. unavyofikiri sio wote wanafikiri hivyo. Mbona marais waliopita waliwaza tofauti na huyu aliyepo sasa? ameona tofauti ameanza na nidham ninampa hongera tena safi sana, na hawa TMF acha wachangie tupo tunaotaka kuangalia.
ReplyDeletepelekeni hizo pesa sehemu zenye shida kama elimu, madawa au jengeni zahanati
ReplyDelete