AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji huyo ambaye mpaka sasa ana filamu nane ambazo amezitoa kupitia kampuni yake ‘Nisha’s Film Production’, alikiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa alipitia changamoto nyingi mpaka kupata mafanikio aliyonayo sasa.
“Mimi nilianza na shilingi 50,000 tu pesa yangu ya kwanza ya filamu kulipwa, niliiweka na sikutumia hata shilingi kumi,” alisema Nisha.
“Mimi nilikuwa hata chakula saa nyingine nasema siwezi kula chipsi na kuku, hii acha hata ninunue muhogo mmoja halafu nyingine niweke akiba, ubahili wangu umesaidia. Leo nina biashara, kampuni ya filamu ya mamilioni na nimeajiri watu,” alieleza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Big it up Safi saana
ReplyDelete