Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Azidi Kung'aa Kimataifa..Apewa Kazi Nyingine na Umoja wa Mataifa Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jakaya Kikwete
Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili ya January 31 Umoja wa mataifa wa Afrika wametangaza kumpatia majukumu mapya. Dk Jakaya Kikwete January 31 ameteuliwa kuwa mjumbe wa amani wa Libya.

Dk Kikwete ameteuliwa kuchukua nafasi hiyo ambayo awali ilikuwa ikishikiliwa na Mr Dileita Mohamed Dileita wa Djibouti ambaye alikuwa mjumbe wa nafasi hiyo toka mwaka 2014. Kikwete ameteuliwa kuwa msuluhishi wa kutafuta amani Libya ambapo toka auwawe aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Muammar Gaddafi mwaka 2011, hali bado sio nzuri.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad