AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jakaya Kikwete |
Dk Kikwete ameteuliwa kuchukua nafasi hiyo ambayo awali ilikuwa ikishikiliwa na Mr Dileita Mohamed Dileita wa Djibouti ambaye alikuwa mjumbe wa nafasi hiyo toka mwaka 2014. Kikwete ameteuliwa kuwa msuluhishi wa kutafuta amani Libya ambapo toka auwawe aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Muammar Gaddafi mwaka 2011, hali bado sio nzuri.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hongera mr Smart
ReplyDelete