Updates..Kilichosababisha Sintofamu Kivuko cha Kigamboni leo Asubuhi Kutaka Kuzama Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Updates -  Kivuko cha MV Kigamboni mapema leo kilikaribia kuzama baada ya kuzidisha abiria na mizigo, baadhi ya abiria wajitosa na kuogelea.
Kilipoteza mwelekeo na kuacha njia yake hali ilozua taharuki kwa abiria.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mungu atawasaidia watanzania wenzangu haitotokea kivuko kuzama milele Na milele ameen

    ReplyDelete
  2. hii kitu ya kujaza watu au mizigo kupita kiasi ni tabia zetu waafrika zinazotuumiza, inatakiw kuwe na usimamizi kwenye hilo

    ReplyDelete
  3. Kila kivuko kikizama utaambiwa sababu ni over weigh. Hivi hakuna watu wa health and safety? Kwenye hivo vivuko?

    ReplyDelete

Top Post Ad