Wafanyakazi 597 wa NIDA wafutwa kazi. Waliofutwa wadai hawakulipwa mshahara kwa miezi 3

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"NIDA chini ya malengo yake ilitarajia kuzalisha vitambulisho 24,000 kwa siku kukiwa na wafanyakazi 802 wenyemkataba wa kudumu na 597 mikataba ya muda,tumekuwa tukizalisha chini ya 10% kwa siku tuko jumla 1399 ukigawanya tu kwa sisi wote ukweli kunawengine wanabaki bila uzalishaji.haiwezeka"Alifafanua Dr.Kipilimba Mkurugezi wa NIDA



Updates:
Vijana waliofutwa kazi NIDA watakutana Victoria jengo la BMTL.

Wanadai kwamba wamefukuzwa kazi kabla ya mikataba yao kuisha na pia hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, Watakuwa Makumbusho leo saa nne asubuhi, wanataka kukutana na kuongea na Waandishi wa Habari.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad