Hii Ndio Sababu Iliyomfanya Diamond Amchukue Raymond Ajiunge WCB..Ipi Hiyo?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii mpya kwenye lebo ya WCB,RayMond amefunguka na kusema kuwa alikutana na Diamond kupitia Maromboso ambaye alitaka atoe maoni yake kwenye wimbo mmoja wa Diamond.

RayMond amesema kuwa kadri alivyokuwa akifanya kazi na Diamond kwa kutoa mawazo yake ndipo Diamond alipoona kuwa yeye anaweza hivyo kumwomba Babu Tale amsadie kwa kuwa Tip Top kuna wasanii wengi.

“Diamond alimwambia Tale kwamba anataka kunisaidia,kwa sababu Tip Top kuna wasanii wengi,na WCB kuna msanii mmoja ambaye ni Harmonizer,kwa hiyo aliamua kunichukua kwa sababu aliona nina kitu”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad