Jibu la Vanessa Mdee Kwa Shabiki Aliyemdiss Juma Jux.....Ilikuaje?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kupitia akaunti yake ya instagram Vanessa amepost picha ya promo ya Jux na cyril ya kwa ajili ya show ya Morogoro na Dodoma na kuandika maneno haya..

 “Moro na Dodoma sio kwa kunichukulia mtu wangu weekend nzimaaaa dahhhhh!!! Freshi lakini nendeni mkashow love basi. @cyrill_kamikaze @juma_jux @bdozen”

Katika hali isiyo ya kawaida shabiki mmoja alijitokeza na kuandika comment inayoonekana kumdiss mpenzi wa msanii huyo,Jux iliyosomeka ifuatavyo..
”Afu Vanessa mwambie msela wako aache tabia ya kuingia chumvini!!!”

Vanessa alionekana kutopendezwa na comment hiyo na kumjibu kama ifuatavyo..
“@d.magezi kwaresma yote hii usije ukanishindisha nja mwananangu naona kuna mengi yanakustress kama vipi Pita LEFT arif isiwe tabu.” kama inavyoonekana kwenye picha chini..

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyo nae kajuaje kama msela anaingia chumvin au huwa anampa chumvi yake ya tigo

    ReplyDelete
  2. inawezekana mchepuko ndo unazamiwa machumvini. aibuuuu

    ReplyDelete

Top Post Ad