JUMA Jux Afunguka Kuhusu Aliyekuwa Mpenzi wake Jack Cliff Kujihusisha na Madawa ya Kulevya..Adai Hakujua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwimbaji wa Juma Jux Amefunguka kuhusu aliyekuwa mpenzi wake mrembo Jack Cliff kujihusisha na madawa ya kulevya mpaka akajikuta anakamatwa huko Macau China, Jux Amesema kipindi chote alichokuwa naye hakuwahi kujua wala kuhisi kuwa mpenzi wake huyo anabeba madawa ya kulevya...

“Lakini huwezi amini sikuwahi kutambua kama Jackie Cliff anafanya mambo hayo mpaka alipopata matatizo hayo ndiyo najua mimi, hivyo ilinipa wakati mgumu sana mimi kiasi kwamba nilikuwa sijielewi,” aliongeza.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad