RASMI..Gerald Hando, Paul James Waondoka Clouds FM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watangazaji Gerald Hando na Paul James, wanadaiwa kuachana na Clouds FM, kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi.

Wawili hao wamekuwa watangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha kituo hicho kwa miaka mingi.

Gazeti la Mwananchi limedai kuwa watangazaji hao wamemaliza mkataba na kituo hicho na hakijapenda kuwaongezea.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad