AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwaka huu nimeziona mara tatu taarifa za habari kuhusu Simba kutoroka kwenye hifadhi ya Wanyama Nairobi Kenya na kuingia Uraiani na kufanya maisha kuwa ya wasiwasi, wengine wawili walitoroka kwenye mbuga hiyo kipindi kilichopita na kukutwa wakizurura kwenye foleni ya magari.
Hii video hapa chini inaonyesha jinsi Simba huyu alivyouwawa March 30 2016 na ni baada ya kuingia mtaani na kujeruhi mtu ambaye inaripotiwa alikimbizwa Hospitali kupata matibabu ambapo wiki mbili zilizopita Simba mwingine alijeruhi mtu kabla ya kukamatwa na kurudishwa kwenye hifadhi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK