Dr. Shein: Upinzani Haujakidhi Vigezo vya Kutoa Makamu wa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amesema hakuna chama kilichokidhi matakwa ya kikatiba kutoa makamu wa kwanza wa Rais.

Rais Shein aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza na Baraza la Wawakilishi visiwani Zanzibar kwa mara ya kwanza tangu kuchaguliwa kwake kwa mara ya pili kuongoza Umma wa Wazanzibar.

''Hakuna Chama chama kinachokidhi kutoa makamu wa kwanza wa Rais huo ni uamuzi wa wananchi na ni uamuzi wa kidemokrasia unaostahili kuheshimiwa ''Alisema Rais Shein.

Aidha Rais Shein katika hotuba yake kwa Baraza hipo pamoja na wananchi wa Zanzibar aliahidi kuhakikisha Zanzibar inasonga mbele kimaendeleo kwa kujenga viwanda maeneo mbalimbali na kuboresha huduma za kijamii pamoja na kupandisha mishahara hadi kufikia shilingi laki 3 kwa kima cha chini.

Pia Rais Shein alisema ataongoza Zanzibar kwa haki na watu wote ni lazima wafahamu kwamba yeye ndiye Rais ambaye alichaguliwa kwa asilimia 91.4 hivyo uchaguzi haupo tena hadi mwaka 2020.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad