Faiza Ally Awajibu Mashabiki Wanaomtag Kuhusu Sugu Kumnunulia Gari Mpenzi wake Mpya..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Instagram siku hizi kimekuwa ni kiota cha umbea wa mjini, Alhamisi hii akaunti moja maarufu ya umbea imeweka picha ya mwanadada anayedaiwa kuwa ni mpenzi mpya wa mbunge wa Mbeya, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ pamoja na gari ambalo anadaiwa kuzawadiwa siku yake ya kuzaliwa.

Akaunti hiyo ilipost picha (hapa juu) na kuandika:

Sugu shikamooo!ahsante kwa kutunyoosha sio kwa bday zetu zile za kiingilio na za kusaka wafadhiri miezi 3!kha hilo lizawadi toka kwa baby ni funga kazi..mtatoo umetulia hata ukiachwa huna haja ya kufuta bana raha si ulishazila bana?? jamani wagonjwa wanaendeleaje huko ICU??…Ukishindana na moto lazima ukuunguze dadeki

Post hiyo ina komenti tofauti tofauti ambapo baadhi ya mashabiki waliamua kumtag mpenzi wa zamani wa Sugu, Faiza Ally ambaye alizaa naye mtoto mmoja aitwae, ‘Sasha’.

Faiza Ally ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi aliamua kujibu na kuandika:

Mmnanitag ili iweje ? watu wamenunuliwa magorofa kariokoo itakua harrier  people grow up!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Faiza ni mzuri huyo anajipaisha kupitia faiza, lakini hamfikii ng'oo bora atulie ale vya mgoni mwenzie.

    ReplyDelete
  2. Faiza ni mzuri sana tu kuliko huyo

    ReplyDelete

Top Post Ad