AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo Nimesoma Makala moja katika Gazeti fulani wakimuongelea Msanii Vengu Ambae alikuwa Original Comedy kabla ya kuanza kuugua Mwaka 2009 kiasi cha kupelekwa India kupata matibabu, Gazeti hilo wamesimulia jinsi walivyofanya juhudi za kumtafuta kijana huyo ili kujua anaendeleaje baada ya miaka mitano sasa ya ukimya..lakini bila mafanikio hawakuweza kupata lolote la maana kuhusu alipo ama afya yake.....
Masanja na Wenzako wa Original Comedy sisi Washabiki wa Vengu tunataka kujua alipo na hali ya yake kiafya kwa sasa...Tumemmiss.......
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
umbea tu inakuhusu kujua ugonjwa wa mtu yuko wapi anafanya nini non of ur bussiness mannnnnnnn
ReplyDelete