SNURA Afunguka Kuhusu Video ya Chura Kupigwa Katika Vituo vya TV...Adai Anaeona Haina Maadili Asiangalie

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwimbaji Snura wa Majanga amefunguka haya kuhusu maadili ya Video yake mpya ya Chura na kuhusu kama itapelekwa kwenye vituo vya Television:

“Kiukweli video ya Chura nimeifanya maalum kwa ajili ya youtube na wala sina mpango wa kuipeleka kwenye Tv yoyote Tanzania, licha ya kuwa nimetumiwa taarifa kuwa Kenya imeshaanza kuchezwa, kwa wanaosema haina maadili mimi sijaitengeneza kwa ajili ya Tv bali youtube kwa anaependa kuitazama ataitazama na kwa mtu ambaye kwake haina maadili asiingie youtube kuiangalia”  Snura
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Malaya wewe nyooooo

    ReplyDelete
  2. Mtu na akili zako unaweza kujizalilisha kama hivyo

    ReplyDelete
  3. Zero Brain Music ni Kipaji ujue wengi mnalazimisha,,,Video ya chura sio tu haina maadili haina mvuto wala maana sana sana ume wapa promo wale wachezaji kwa wale wanao penda Matako Makubwa kama Yale wawatafute wale wa dada.

    ReplyDelete
  4. Shenz umelaanika ww hujuwi hata kuimba fyuuuuu.

    ReplyDelete
  5. OVYOOOOOOOOOO

    ReplyDelete
  6. Upuuzi mtupu kabisa

    ReplyDelete

Top Post Ad