Video: Dudu Baya Adai Hajawai Tumia Madawa ya Kulevya, Bangi, Wala Kunywa Bia Lakini…

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop, Dudu Baya amefunguka kwa kusema kuwa katika maisha yake ya muziki hajawai tumia Madawa ya kulevya, kuvuta sigara wala kunywa bia.

Rapa huyo ameiambia Bongo5 kuwa yeye ameeputa kutumia madawa ya kulevya kwa kuwa amekuwa akiishi na watu ambao wameathirika.

“Mimi sivuti sigara, sinywi bia wala situmii Madawa ya kulevya na sijawai kushawishika,” alisema Dudu. Mimi ni mnywaji wa bapa (Konyagi), lakini sio vinywaji vingine,”
Chanzo:Bongo5
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad