WANASHERIA: Hivi ni Sahihi Rais Kudukua Mawasiliano ya Wateuliwa wake??

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mh rais amekiri kuwa ameagiza watu wake kurekodi (kwa lugha ya kitaalamu kudukua) maongezi ya mawaziri na makatibu wakuu ili apate ushaidi wa kuwafukuza.

Nimesoma katiba nzima sikuona sehemu iliyoandikwa eti kulalamika ni kosa la jinai au la kawaida. Sasa huu udukuzi anaoufanya Mh. rais hauvunji haki za binadamu??

Wanasheria nisaidieni,
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

10 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huo ni mwanzo tu. mipango iko njiani kuweka kamera kwny majumba yao na hasa kwny vyumba vya kulala.

    ReplyDelete
  2. Kwenda zako huko,mxiiiiii fyuuuu.
    Tuulize ni halali JPJM kupata mshara wa 9.5 million wakati anafanya kazi sana?

    ReplyDelete
  3. kwani wewe ni halali kudukua udaku na kuweka mitandaoni bila kibali cha muhusika?

    ReplyDelete
  4. Mnajaribu kufukunyua kila jambo ili mradi tu mumkosoe rais?

    ReplyDelete
  5. mwache adakue ili apate ushahidi wa kutosha wa kuwafukuzeni kazi

    ReplyDelete
  6. Sawa sawa, sababu hamfanyi kazi kwa kujituma, na uaminifu. Uwaminifu ni kitu kizuri sana popote pale duniani, na hiyo mitambo ya vidukuzi nchi zilizoendelea ni kama kawa, ukikosa uwaminifu umejifukuzisha kazi mwenyewe, muda wa kuendekeza endekeza ujinga, na bilbransjen aibu umeshapitwa na wakati ndio maana hatupigi hatua

    ReplyDelete
  7. Pekuaaaaa jpm pekua mpaka madroo ya ofisi zao pambafuuuuuu

    ReplyDelete
  8. Kudukua ni muhimu ili apate kujua nani manafiki anacheka usoni moyoni anaumia, asiyetosheka ARARE MMBERE

    ReplyDelete

Top Post Ad