Zamaradi Mtetema Amwagia Sifa Hizi Mwigizaji Riyama Ally

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, muuandaaji wa filamu na matantazaji wa kipindi cha Take One  cha maswala ya filamu , Zamaradi Mtetema  amemwagia sifa muigizaji wa kike, Riyama Ally kuwa ni moja ya waigizaji wa kike wenye uwezo na nguvu sokoni.

“Anafahamika zaidi kwa uigizaji wake… MUIGIZAJI wa kike mwenye uwezo wa kusimama kwenye Cover PEKE YAKE bila nguvu ya muigizaji wa kiume na bado filamu IKAUZA… sio kitu rahisi!!! Anafahamika kwa jina la Riyama Ally”,  Zamaradi aliandika hayo mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya Riyama.

Riyama naye kupitia ukurasa wake alimshuruku Zamaradi kwa maneno haya;  “Asante sana my dear umekua mstari wa mbele kuni support ktk kazi yangu tangu mwanzo na mpaka sasa bado hujanikatia tamaa ukiamni kabisa ipo siku unacho kiona kwangu na waTanzania watakiona kwa vitendo asante”, liyama alieza hayo kwenye ukurasawake instagram.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad