AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na gazeti hili, pasipo kuwataja majina, Lulu alisema anashangazwa na tabia ya mastaa wengi kuwa ‘bize’ kutafuta kiki kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii badala ya kukutana pamoja na kufikiria ni kitu gani wanaweza kufanya ili waendelee kimaisha.
“Jamani mimi nashangaa siku hizi huku mjini mastaa wanatafuta kiki sana kuliko kufikiria mbinu ya kusaka hela yaani ni shida kabisa, tubadilike jamani, muda unakwenda,” alisema Lulu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwenda huko wewe mwenyewe ndio wa kwanza kutafuta kiki kwenye mitandao. Sasa unaona wenzako wanakuja juu na watakufunika sasa ndio unaanza kujishau. Kwanza ni nani aliyekuambia kuwa Pesa ndio kila kitu katika maisha. Acha ujinga nenda shule ukafute ujinga na pia uache wivu wa kijinga dhidi ya wenzako. Hata hivyo muda wako wa ku shyn umekwisha waachie wengine wafanye vitu vyao......Domo kubwaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteJini mauti naeee
ReplyDelete