Meneja wa Wema Afungukia Ugomvi wa Mirror na Petiti Man

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wema Sepetu na Martin Kadinda
Mwanamitindo na Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amefunguka juu ya ugomvi wa Mirror na Petiti Man.

 Akizungumza na Enewz Kadinda alisema kuwa ugomvi wa Mirror na Meneja wake anayesimamia kazi zake za muziki yaani Petit man ni utoto tu unawasumbua.
“Petiti bado yupo Endles Fame kwakuwa bado hajaiandikia barua kampuni kuwa anatoka na yote yaliyotokea kati ya petit na Mirror ama Wema ni tofauti zao tu kawaida ambazo si mara ya kwanza kutokea”,alisema Kadinda.

Hapo awali Mirror aliiambia Enewz kua hasimamiwi tena na Petit katika kazi zake huku Petit akitaka tumuulize Meneja wa kampuni ambaye ni Kadinda juu ya swala hilo kwakuwa yeye ndo msemaji wa kampuni hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad