AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Bongo5 Jumamosi hii, Mose alisema habari za kwamba ameachana na Aunt Ezekieli kisa Aunt amechepuka sio za kweli.
“Hivi vitu naviona na najua ni vitu vya kuzusha tu, mimi na mama Cookie tupo vizuri na hatuja kwaruzana. Kwa hiyo hivyo vitu sio vya kweli na wala hatujaachana,” alisema Mose.
“Kugombana tunagombana, ni vitu vidogo vigogo vya ndani ya nyumba. Pia nilisikia sisi tumeachana kila mtu anaishi kwake, sio kweli, kipindi hicho mimi nilisafiri sasa walivyokuwa wanamuona yupo peke yake, ndio wakazusha hivyo,” aliongeza.
Mose amesema hizi tetesi hazimuumizi kichwa kwa kuwa tayari anajua sio vitu vya kweli.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK