Najiogopa Nikivaa Hereni na Kuchora Tatoo – Ben Pol Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ben Pol ni mmoja kati ya wasanii wachache kwenye muziki wa Bongo Fleva wasiokuwa na makuu.

‘Moyo Mashine’ ni moja kati ya nyimbo zinazofanya vizuri kwenye TV na redio na kufanikiwa kuweka rekodi ya kuwa na views nyingi kwa muda mfupi kuzidi nyimbo nyingine ambazo Ben Pol amewahi kuziachia.

Akiongea kwenye kipindi cha Clouds 360, kinachoruka kupitia Clouds TV, Ben Pol amesema, “najiogopa, nawaza hivi itakuwaje nikivaa hereni au kuchora matatoo.”

“Wazazi hawatasumbua, kwa umri wangu huu naweza kufanya kitu chochote. Lakini mimi mwenyewe naona hivi itakuwaje, labda naenda kama benki hivi. Nataka kufocus kwenye muziki mzuri na ubunifu kwenye muziki lakini zile mbwembwe hapana,” aliongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. safi sana mgogo mwenzangu waachie wenyewe kina ray

    ReplyDelete

Top Post Ad