AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani Joyce alisema, amekuwa akiuweka mwili wake sawa ili usinenepe sana kwa kuwa hataki tena kuonekana mzee akawapa nafasi wasichana ‘potabo’ wakaingilia ndoa yake na kuipoteza.
“Akuu!! Kisa cha kujizeesha na mwili hata ukitembea na mumeo uonekane kama shangazi yake mimi sitaki kabisa, sasa hivi ni diet kwa kwenda mbele kila kukicha nisije kuwapa madungaembe nafasi ya kuingilia ndoa yangu,” alisema Joyce.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK