AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yoyote anae support JPM kuminya Bunge La Tanzania atakuwa hajaenda shule Na Kama ameenda shule itakuwa hakusoma masomo ya history Au politics Maana Kama umesoma masomo hayo ungekuwa unajua kabisa serikali yoyote ya kidemokrasia inapoanza ku-silence vyama vya upinzani Kwa namna yoyote ile that country is going down the drain. Vyama vya upinzani Ni watanzania pia so Kama JPM anaweza kuwanyanyasa hao trust me eventually yoyote Yule ambae hatokubaliana Na JPM will meet the same fate! Trust me on that one.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Naunga mkono hoja. Huu utawala hauni kama watanzania wana haki ya kupata taarifa.
ReplyDeleteushauri wangu kwa rais ni atafute watu wasomi wamshauri sio kutafuta sifa na awasikilize wanannchii wake wanataka nini?kuna haja gani ya kuongoza nnchi if people hate you.atofautishe kumkontro mmke wake na watanzania
ReplyDeletehuna adabu chizi wewe hayo ya mke wake yanatoka wapi????? kama siyo uchizi wa kufikiri
DeleteWewe malaya mange unaongea usichokijua, sio magufuli anaetumbua majipu nenda kasome ilani ya Ccm. pumbavu wee
ReplyDeleteNa minywele yako feki. Toka hapaaa
DeleteUMEONGEA POINT MANGE!!!!
ReplyDeleteChangudoa wa enzi zileee Dubai. hahaha
Deletemange mpumbavu kuliko wapumbavu wote duniani, awamu ya nne ulisema jk kauza nchi sasa hivi jpm anahangaika kurekebisha mambo una sema hata akoe mabilioni mangapi hatasaidia chochote kama bunge halitaonyeshwa live. Pumbavu sana wewe, hiyo live bunge itasomesha wanafunzi bure? au itatengeneza barabara? shenzi mkubwa wewe ndo maana huishi kutukanwa kila siku kwa upumbavu wako. kila siku wewe wa kukosoa tu wewe una uzuri gani ama umeitendea nini nchi yako mbwa koko weee
ReplyDeletewell said mange! kuna watu wametumwa kuchafua hali ya hewa bahati nzuri hakuna kupigana mitama humu.
ReplyDeleteKama ni uhuru WA habari mange anza kusema kuhusu ndoa yako
ReplyDeleteTunasikia mengi siku hizi umenyamaza kimya wala hugusii
Biashara ya nguo vipi?
Tunamiss nguo zako Au umejuwa tumeshtuka watejaaaaaa
Ya Tanzania tuwachie wabongo bibi
Hahahaha ndoa mbona imeota mbawa long time !! Biashara ya nguo chali. Mtaji kwishney. Kaambulia kuzalishwa tu hahaha. Boke ana sura ya kijijiniii. Domo na pua ndio usiseme. Mweusi kaa chungu cha kafara.mchxxxx
DeleteHuyo dada mbona hasomeki,na nywele zake kama ametoroka milembe hospital
ReplyDelete