AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika hafla hiyo mgeni rasmi alitarajiwa kuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ambapo baadhi ya wanafunzi wamekamatwa baada ya kuwambiwa watawanyike na kurudi majumbani kwao.
Polisi wamesema mikusanyiko yote ya kisiasa ilishapigwa marufuku, hivyo hata mahafali hiyo ilikuwa batili
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Duuuuh hii hatari basi sawaa..mweeeee inasikitisha lakn
ReplyDeleteMamae tunapoelekea sasa itafahamika tuu
ReplyDeleteKinachoendelea kinaonekana kama utani wa kawaida tu, lakini madhara yake ni makubwa sana huko tuendako, huu ni ukandamizaji, na ukandamizaji wa namna hii ama nyingine inayo fanana na hii ndio chanzo cha uzalishaji wa vikundi visivyofaa na vyenye madhara makubwa kwa amani na uchumi wa nchi. Syria, Libya, Nigeria, Somalia, Burundi na nchi nyingi tu zimekua na machafuko ambayo vyazo vyake ndio kama hivi au mifano ya hivi. Ni vizuri waliopo madarakani wakatumia mfumo wa uongozi badaya ya mfumo wa utawala.
ReplyDelete