AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Nilimpenda Shaa kwa sababu ni msichana anayejielewa pamoja na kazi zake anazozifanya ni nzuri, hata hivyo tumeendana katika mapenzi yetu,’’ alielezea.
Mtayarishaji huyo ana watoto watatu kwa mke wake na hawana mtoto na Shaa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umempenda Shaa kwa kuwa ni mvumilivu pia.---??????????
ReplyDeleteSIJAKUELEWA!!! MKE ALIYEKUZALIA WATOTO WATATU SIO MVUMILIVU!!!???
ReplyDeleteWee master J acha kumpamba huyo binti ili awe na wewe. Anahitaji kuzaa kama wewe ulivyo zaa na mkeo watoto watatu. Asije akalalamika kama tunawasikia kwenye vyombo vya habari pale amabapo atakuwa tayari amepoteza wakati na maisha kuingia ukakasi. SHAA kama master J anakupena azae na wewe na siyo sifa za kijinga kwani hizo zipo siku zote . Nawatakia uvulivu usio na kifani.
ReplyDeleteAsije akawa nayeye anazitoa kama Dada Weme Sepeta. Ili awe wa Show of kwa Master. Zaa wewe acha mchezo usiwe kama ze ndindindi
ReplyDeleteKWELI SHAA MIAKA KUMI NI MINGI ZAENI BASIIII!!!!!
ReplyDelete