Mwanamuziki Shetta Apangua Tuhuma za Kubebeshwa Madawa ya Kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Star wa Bongo Fleva Shetta anayefanya vizuri na wimbo wake mpya wa ”Namjua” ameweka wazi juu ya mafanikio yake baada ya kuwa na tetesi nyingi kuwa siku hizi na yeye anabeba mabegi ya unga.

Akizungumza na Enewz Shetta alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa yeye shughuli yake kubwa ni mziki na hata anaposafiri kwenda nchi nyingine watu huwa wanaona yeye anachokifataga huko kama kushuti video nzuri pamoja na show.

“Mimi sifanyi hiyo biashara nafanya mziki kuna vitu vingi vya kutuingizia pesa sisi wasanii tunauza video zetu yutubu,matukio miito ya simu,endorsement na nimeshakuwa balozi wa kampuni kubwa kwahiyo ninavitu vingi vya kuniingizia pesa”,alisema Shetta.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad