AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nisha aliliambia Wikienda kuwa ameshangazwa na habari zinazozagaa mitandaoni baada ya yeye kuweka picha za wasanii wanne kisha msanii mwenzake, Wolper kuanza kumrushia maneno wakati yeye aliandaa shoo ya Harmonize (mpenzi wa Wolper) wiki mbili zilizopita na yupo kibiashara zaidi kwani bado ana shoo mbili ameandaa ikiwa ni pamoja na shoo ya mwezi huu wa Ramadhani ambayo itakuwa ni ya mahadhi ya mwezi huu.
“Huwa nawashangaa wasanii wengine, mimi sijawahi kupenda alipopenda msanii mwenzangu, tena ambapo ninajua kabisa kuwa huyu yupo huwa siingii kabisa kwa wakati huo, kama mnavyojua uhusiano wao uko wazi hivi naingiaje?
“Kuhusu kiki kuwa imepangwa ili kumuangusha Mr Blue na wimbo wake (Mboga Saba) ni ishu za uongo labda kama wamepanga wao,” alisema Nisha.
Chanzo cha maneno haya yote ni baada ya ujumbe unaosambaa mtandaoni kuwa Nisha alitaka kujiweka kwa Harmonize ndiyo maana akaandaa shoo kwao na msanii huyo ambapo Wolper aliishtukia na kuamua kuongozana na mpenzi wake huyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK