Prof. Ibrahim Lipumba Aomba Kurudia Nafasi yake ya Uenyekiti wa CUF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekuwa mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amemuandikia barua Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamadi ya kuomba kutengua barua yake ya mwaka yana ya kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Prof Lipumba amesema kwamba ameandika barua hiyo na anasubiri uamuzi wa chama hicho kama utaamua kumrejesha au la.
Hatua ya Lipumba inatokana na Chama cha CUF kutangaza uchaguzi wa kuziba nafasi zilizo wazi katika chama hicho ikiwemo nafasi ya uenyekiti iliyokuwa iliyokuwa wazi baada ya kujiuzulu kwa lipumba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwaani ulipjiuzulu hapo a wali ulitoa sababu zip I? Manake bRu Ya haijanifikia mpaka sasa..na madaraka ni jukumu? Ni Yale Yale uliyoshindw Wali

    ReplyDelete
  2. Njaa mbaya Sana upinzani hamna nchi hii wote wapiga deal

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani ccm siyo wapiga deal?

      Delete
    2. WEWE NDO MPIGA DEAL

      Delete
  3. njaa mbaya sana,kwa nini asiende fundisha kwenye vyuo tu?

    ReplyDelete

Top Post Ad